hk CONTACTS

hk CONTACTS

Monday, September 8, 2014

MASHINDANO YA DANCE YALIYOANDALIWA NA UDO YAFANYIKA KWENYE CLUB YA MAISHA JIJINI DAR

 Ton Dougue(katikati) akicheza  wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Dance yaliyoandaliwa na UDO(United Dance Orgarnisation) yaliyofanyika kwenye club ya Maisha Club ya jijini Dar.
 Mc wa mashindano ya Dance, Jillah "The Boss" akifanya ya kwake kwenye stage ya Maisha Club ya jijini Dar. 
 Chief Jaji Idrisa akizungumza jambo kwenye mashindano ya Street Dance Champion yaliyofanyika kwenye Club ya Maisha jiji Dar, Kulia ni Jaji Joan


Jaji Joan akizungumza jambo kwenye mashindano hayo
 



  
  




  


 Picha za juu zinaonesha baadi ya makundi yaliyoshiriki kwenye mashindano ya Streen Dar

Gilla(aliyeshika Mike) akiwa na baadhi washiriki la Street Dance Champions.
  Msanii wa  muziki wa kizazi kipya, Buibui akiwapagawisha mashabiki wake kwenye mashindano ya Dance yaliyoandaliwa na UDO(United Dance Orgarnisation) yaliyofanyika kwenye club ya Maisha Club ya jijini Dar.





No comments:

Post a Comment