hk CONTACTS

hk CONTACTS

Thursday, August 15, 2013

HII NI ZAIDI YA UFUKSA ANGALIA KIJANA ANAEONGEZA KUWAPIGA PICHA WASICHANA WAKATI WA TENDO LA NDOA

















































Huyu ndio kijana anaewachinja kama kuku







































































Na Mwandishi Wetu
Mtandao wetu umefanikiwa kunasa picha mbalimbali za aibu za msanii 
chipukizi na mwanamuziki Manaiki Sanga akifanya ufuska wa kutisha na 
wanawake tofauti tofauti hali inayoonesha ameazimia kujitoa muhanga 
juu ya gonjwa hatari la ukimwi linalotishia dunia nzima.
Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu kilichotushushia shehena za 
picha hizo kilisema msanii huyo ambae pia ni anaigiza pamoja na kundi 
la Ze Komedi la East Afrika Tv tangu apate jina amekuwa akijihusisha 
na vitendo viovu vya unyanyasaji wa kijinsia kwa kuwarubuni mabinti 
kupiga nao picha za aibu kwa lengo la kutafuta jina na amekuwa 
akitumia kiasi kikubwa cha pesa kufanikisha suala hilo.
Aidha katika hali nyingine msanii huyo aliyetamba sana kwenye filamu 
ya Love Postion, Tikisa na nyinginezo amekuwa akitumia gari yake 
kufanyia ufusika" Kwa kweli hali ni mbaya ile gari yake ameigeuza kama 
gesti ambapo ukiiona gari hiyo imepaki sehemu kwa muda uje kuna 
shughuri inafanyika ndani hivyo tunaliomba jeshi la polisi Kanda ya 
Dar es  Salaam kulifanyia kazi suala hilo kisha kumtia mikononi huenda 
wasichana wa watu wakasalimika jamani" Alisema muhudumu wa baa ya Coco 
Beach ambako msanii huyo huwa anapenda kukaa. 
Gari ya msanii huyo imekuwa maarufu sana huku nyuma ya gari hiyo 
kukiwa na maneno haya " Nina Fanya Mambo" Money is Paper na inadaiwa 
msanii huyo ni mtoto wa kigogo mmoja maarufu ambae anamiki hotel 
kadhaa hapa mjini ikiwemo Itumbi iliyopo Magomeni.
Picha hizi zinawaonesha mamisi mbalimbali Kama Irine Kanka ambae 
alikuwa Miss Temeke namba 2 mwaka juzi. Miss Utalii Fathiya Alfan" 
Mrembo wa Facebook" Dida ambae ni mwanamuziki huko Zanziba. na 
wengineo. Hata hivyo watu wamemuonya msanii nyota wa kike nchini 
Wastara kutompa nafasi msanii huyo kwani akifanya hivyo atakuja kujuta 
kwani imeonekana siku za hivi karibuni amekuwa na ukaribu sana kiasi 
cha kwenda nyumbani kupata chakula.
Xdeejayz ilimtafuta Manaiki kupitia simu yake ya kiganjani ili kufanya nae mahojiano. Lakini kwa bahati mbaya hakuweza kupatikana hadi habari hii inaruka hewani. Xdeejayz kama chombo cha habari tuna laani vikali tabia za namna hii za baadhi ya wasanii wasiokuwawaadilifu kwani matukio kama haya yanarudisha nyuma juhuzi za seikali na taasisi za kupambana na gonjwa hatari la UKIMWI.

2 comments: