hk CONTACTS

hk CONTACTS

Monday, August 11, 2014

HEMED PHD AFUNGA KAZI KWENYE CLUB YA MAISHA JIJINI DAR


Yusuph Mlela akimwita Hemed PHD kwa ajili ya kyutoa burudani
 Msanii wa bongo fleva, Hemed PHD akitumbwiza na mmoja wa mashabiki wake kwenye club ya maisha iliyopo jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo
 Hapa ilikuwa ni noma sana maana viuno vilikatwa  vya kutisha
 Msanii wa bongo fleva, Hemed PHD akiendelea kuwapagawisha mashabiki wake
MC wa shoo hiyo D 120 akifanya ya kwake
  Madansa waitwao Classic wakifanya ya kwao kwenye stage
 Madansa wakifanya ya kwao kwenye stage
Msanii wa Bongo Fleva, Iquor Jonior akitoa burudani kw mashabiki wake kwenye club ya maisha ya jijini Dar es Salaam
 Jux akiwapagawisha mashabiki 
 
 Warebo walishindwa kujizuia baada ya kupanda kwa Jux
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Jux akiimba na M Rap kwenye shoo iliyofanyika Maisha Club ya jijini Dar
M Rap akitoa burudani ndani ya club ya maisha ya jijini dar usiku wa kuamkia leo
 Ni mwendo wa kushangweka
  Quick Rocka(kulia) akiwa na Jux (kushoto) wakiendelea kutoa burudani kwa mashabiki wake kwenye club ya maisha club iliyopo  jijini Dar usiku wa kuamkia leo
 Quick Rocka
  Msanii wa Bongo fleva, Gelly wa Rhymes akiwapagawisha mashabiki wake kwenye club ya Maisha iliyopo jijini Dar
Msanii wa Bongo fleva, Gelly wa Rhymes aliendelea kuwapa burudani mashabiki wake
 Wapenzi wa muziki wa bongo fleva wakifuatilia kinachoendelea
 Ni furaha
Ni shidaa tupu
Pacha(kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Akida

No comments:

Post a Comment