Kundi la kwanza la washindi wa tuzo KTMA alishinda Diamond na wimbo wa My Number One kwenye category ya wimbo bora wa Afro Pop ambapo tuzo ilipokelewa na producer wake Shedy Cleva.
Tuzo ya wimbo bora wenye vionjo vya asili vya Tanzania ilienda kwa kundi la Dar Bongo massive na wimbo wa Bora Mchawi
No comments:
Post a Comment