hk CONTACTS

hk CONTACTS

Thursday, October 10, 2013

KWELI DIAMOND ANAZIDI KUANDAMWA.LEO YOUTUBE NIMEKUTANA NA HIKI KITUKO.


Wimbo huu hapa chini nloikuta leo youtube na tayari  imetazamwa na Watu zaidi ya elf 50 ni kituko kwa sababu Diamond hawezi kamwe kumshirikisha Tanzanite wakati wana Bonge La Bif.


Tanzanite ndo yule msanii alokopy wimbo wa Diamond uitwao Tatizo kwetu Mbagala na kuiita Uchawi naWanga.

Tangia hapo Diamond alimchukia mno huyo mtoto.Sasa huu wimbo eti wamefanya Pamoja.Inaitwa MAPENZI-DIAMOND FT TANZANITE.Tetesi ni kwamba Tanzanite aliipata juu kwa juu huu wimbo na kuamua kuingia studio na kuweka mashairi zake.Ni ngoma ambayo ilikuwa bado haijakamilika na Diamond hakutaka kuitoa kwa sasa.Tanzanite akamzidi ujanja!!

TAZAMA MWENYEWE HAPA CHINI UJIONEE VITUKO.

No comments:

Post a Comment