Habari zilizotufikia hivi punde kutoka chanzo chetu cha habari kutoka jijini Arusha zinasema kwamba kitu kinachosadikika kuwa ni bomu limelipuka kwenye mkutano wa chadema jijini Arusha limeua watu kadhaa na kujeruhi.Mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana Endelea Kutembelea blog hii tutakujuza zaidi |
hk CONTACTS
Saturday, June 15, 2013
BOMU LALIPUKA ARUSHA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA WATU KADHAA WAPOTEZA MAISHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment