hk CONTACTS

hk CONTACTS

Thursday, March 28, 2013

FILAMU YA MWISHO YA MAREHEMU KANUMBA AKIWA NA SHARO MILIONEA LOVE & POWER IPO TAYARI!.



Steven Kanumba
Marehemu Kanumba filamu yake ya mwisho kuigiza ya Love & Power

FILAMU ya Love & Power ambayo ndio kazi yake ya mwisho kuigizwa na msanii wa filamu nguli Bongo marehemu Steven kanumba inatarajiwa kuingia sokoni baada ya msambazaji wa filamu hiyo kuikamilisha na kusema kuwa filamu hiyo itanarajiwa kuingia sokoni mwezi wan ne, filamu ya Love & Power ni kazi ya kipekee kuigizwa na msanii huyo kabla ya umauti kumfika ni filamu aliyorekodi siku za mwisho kabisa.

.

Steven Kanumba
Marehemu Kanumba akiwa katika pozi.
Filamu ya Love & Power ya marehemu Kanumba.
Steven Kanumba

Marehemu Kanumba akiwa katika pozi akivuta Siga.

Filamu hiyo pia ina historia ya kipekee kwani moja kati ya filamu iliyobeba wahusika wakubwa ambao ni marafiki wa marehemu Kanumba huku Daktari wa familia ya marehemu naye akiwa ameshiriki vema katika filamu hiyo.

Pengine ni filamu inayoweza kuibua hisia za watu wengi kufuatia filamu hiyo kuigizwa na wasanii watatu ambao kwa sasa ni marehemu, wasanii hao ni pamoja marehemu John Stephano, Hussein Mkiety ‘Sharomilionea’, lakini pia kuna msanii mwinge Irene Paul ambaye aliigiza kama mhusika mkuu, marehemu Kanumba alifariki mwaka jana mwezi wanne.

Msanii huyo anakumbukwa na wapenzi wa filamu kwa umahiri wake wa kuigiza na kuwa ni msanii pekee aliyeweza kuitangaza Tanzania kwa njia ya filamu na kuwa mmoja kati ya watu mashuhuri, filamu ya Love & power itasambazwa na Steps Entertainment ya jijini

No comments:

Post a Comment