hk CONTACTS

hk CONTACTS

Friday, February 5, 2016

Picha: Diamond Asaini Dili Nono na Vodacom, Zari Amsindikiza Kusaini



Kutoka Kushoto: Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, Ian Ferrao, Diamond, Zari, Babutale na mmoja wa maafisa wa juu wa kampuni hiyo

Hitmaker huyo alisindikizwa na mchumba wake Zari the Bosslady kwenye tukio hilo lililofanyika leo jijini Dar es Salaam. Haijulikani ni mkataba wa muda gani na atalipwa shilingi ngapi lakini vyanzo vimesema Diamond amevuta mkwanja mrefu.
“Closed the deal with Vodacom…watch this space! @ianferrao,” aliandika meneja wake, Babutale.
Kwa kuanza Diamond atahusika kwenye promotion mpya ya kampuni hiyo iitwayo Ongea Deilee.

No comments:

Post a Comment