hk CONTACTS

hk CONTACTS

Tuesday, February 3, 2015

MJUE HK MANAGER MBUNIFU MWENYE KUKUZA VIPAJI TOKA CHINI

Kwa jina kamili anajulikana kama hemed kavu al maarufu  HK.. a.k.a hyperman hk  kijana mwenye kipaji chakugundua na kukuza vipaji vya vijana mbalimbali, wasanii wengi wanaofanya vizuri kwa sasa wamepita kwenye mikono ya hyperman hk nakupata njia nzuri ya mafanikio yao. kipindi cha miaka nane au sita iliyopita alikuwa Anafanya kazi club bilicanas hapo alikuwa na program yake yakukuza vipaji inayoitwa JAM SESSION.. Ilikuwa inaanza saa8 mchana mpaka saa1 usiku program hii imewakuza wasanii wengi sana akiwemo CHIDY BENZI,BOB JUNIOR,MR BLUE,DULLY SYKES,SUMER LEE,C PWAA,ALI KIBA,MATONYA,MB DOG, na wengine kibao..mwaka 2008 aliamia new maisha club na kundeleza gurudumu lake la kukuza vipaji mbalimbali na kuamua kuanzia kusimamia wasanii kama manager miaka ya 2000.ambapo alikuwa na msanii chipukizi  ytony ambaye kwa muda mrefu aliomba kumenejiwa na hk.. hapo ndipo hk akaamua kumpa nafasi kijana huyo ya kuwa msanii wa kwanza kupata bahati ya kufanya kazi na hk kama mtu na msanii wake. ytony mpaka sasa anatamba na ngoma kama MASEBENE,MY SHITOBE,NA MAMA aliomshirikisha Barnabas... baadae akamchukua marehemu sharo milionea mwaka 2012 na kufanikiwa kurecod nae ngoma mbalimbali ikiwemo ile aliyoimba na Ali kiba ya changanyachanganya lakini kwa bahati mbaya alifaiki dunia.[r.i'p sharo. ] hapo ndipo hk alipoongeza msanii mwingine wa kike ajulikanae kama SNURA MUSHI .. aliehit na ngoma zake kama MaJANGA,NIMEVURUGWA,USHAHARIBU N,K.. HK ana kipaji chakugundua ngoma mbalimbali zinazoweza kuwa ngoma kubwa sana pia ana upeo mkubwa wakutengeneza title ya nyimbo zinazohit kama wimbo wa masebene, majnga,na risasi kidole ya mashujaa band iliyoimbwana chalz baba.. hizi ni baadhi ya nyimbo alizozitengeneza hyperman hk.Pia anauwezo mkubwa wakukuza nyimbo na kujulikana na kuwa nyimbo kubwa tanzania akiamua kuifanyia nyimbo promotion kwa mfano ngoma kama chungwa ya suma lee NA HAKUNAGA,VIMEPANDA BEI BLADY KEY,NAINAI OMMY DIMPOZI,MAWAZO DIAMOND,DARE SALAAM STAND UP YA CHIDY BENZI,MAJANGA YA SNURA,MASEBENE YA Y TONY,KIZUNGUZUNGU YA SSHARO MILIONEA,SINDELELA YA ALI KIBA,WA ALADE YA BARNABAS, N,K
BOB JUNIOR akiwa na hk
mr blue akiwa na hk 
RADO Akiwa nyumbani kwa HK

sumer lee akiwa nyumbni kwa hk

CHIDY BENZ akiwa nyumbani kwa HK

Wasanii mbalimbali wanapenda kutembela na kukutana na hk kwa ajili yaa ushauri au kusikiliza nyimbo zao pindi wanapozitoa tu kbla ya kuzipeleka kokote pale umpa hk na kuwapa majibu ya ngoma zao,kama kali au zio kali.
HK akiwa na ESTHER WASILA
HK AKIENDESHA SHOW NEW MAISHA CLUB DAR
HYPERMAN HK Ni kijana mwenye kipaji cha kubuni vitu mbalimbali zinavyohusu burudani kwa sasa yupo katika club ya kimataisha inayojulikana kama new maisha club.yenye matawi yake dar,dodoma,mtwara  na morogoro. akiwa kama general intertaiment manager.. kwenye shughuli yakubuni burudani zote zinazofanyika katika club hizo yeye ndio incharge manyota.
Uzoefu wake wa miaka isiyopungua 15 katika game hii ndio inamfanya azidi kuwa nguli wa kazi hizi.
burudani nyingi zilizokuwa gumzo hapa mjini zimebuniwa na hk na majina yakimytaani yenye kuwa gumzo kubwa kana neno bunyero bunyero.

Aidear hii ya kitofauti imewafanya watu wengi sana kumuona hk ni mtu mwenye kipaji cha kipekee sana.. kwamana kuitoa burudani ya ushwahilini na kuileta uzunguni na kukubalika haikuwa kazi ndogo lakini ilieleweka na kukubalika sana. Mara ya kwanza burudani hii ya kibao kata iliyopewa jina la BUNYERO BUNYERO watu hawakudhani kama itagfika huku ilipo lakini ikawa ndio siku kubwa yenye kuingiza watu maisha club kuliko siku zote..kwanza ilikuwa inafanyika siku ya jumatano lakini watu walijaa hakuna sehemu ya club hapa dar inajaza watu hatamia siku ya jumatano lakini maisha club kupitia program hii inaingiza watu wasiopungua 500 siku ya jumatano kwa kiingilio cha elfu 10.,,, kwasasa usiku huo umepewa jina jipya linalojulikana kama usiku wa TAMNYETAMNYE.
Mengi yamefanywa na kijana huyu ebu anza kumfatilia ujue upeo wake zaidi juu ya ubunifu alonao kwenye facebook hemed kavu
instagram @hkhyper02
tweeter hyperman hk
whatsaap no 0713435543.

1 comment: