| Mwengi Ally Shem Lake akisababisha mambo jikoni..... |
| Esmah Khan mwenyewe.... |
| Recho kizungu zungu akishugulikia mahanjumati.... KWA PICHA ZAIDI......... |
| Dada zangu hao wawili wakishugulika......Watoto wa kimanyema |
| Vyanda vyandani sasaaa.... |
| Bi Sandrah akiweka sawa vitu...... |
| bado dakika kadhaa tushuke ulingoni...hahaha |
| Tukiwa tumekusanyika kwa pamoja tayari kupata Iftar |
| Hapana chezea MAHANJUMATI haya bhana yaliyopikwa yakapikika.... |
| Time hii amna stori ni mikono na midomo inacheza tu stori baadae... |
| Mwasiti nae alikuwepo....... |
| Hamza Bala nae hakukosekana.... |
| Weee sibanduki hapa kabisa ni kung'ata ng'ata tu..... |
| Dumi mwenye utamu wake..... |
| Darleen,Mwasiti & Recho... |
| Njooo na wewe tujumuike ama niniii..? |
No comments:
Post a Comment