Pages

Monday, April 22, 2013

YALIOJILI KWENYE SHOW YA UZINDUZI WA VIDEO YA MADEE NANI KAMWAGA POMBE YANGU@NEW MAISHA CLUB DAR


Napenda kumshukru mwenyezi mungu...Mungu wa
rehema kwa kila jambo ambalo
amekuwa akinisimamia na kulifanikisha.....
Napenda kumshukru mungu tena
kwa siku ya jana pale Maisha Club.....kwenye uzinduzi wa
 video mpya ya Madee ya Pombe
Yangu......Nilifika kushow love and respect yangu kwake....
na  kuamua kukonga nyoyo za Mashabiki
waliojitokeza kwa wingi kuja kushuudia kichupa hicho
Balaa kilichosimamiwa
Na Adam Juma kutoka Nextlevel.....
Zifuatazo ni picha kadhaa Nilivokinukisha Ndani
ya NEW MAISHA CLUB
Na kuharibu Hali ya hewa ya mule Ndani....ALISEMA DIAMOND PLATNUMKWA SITE YAKE.


Mariam & Esma khan walikuwepo kumpa support
 madee usiku wa Jana....pia na
dada yangu halima kimwana ayupo pichani nae alikuwepo...
Moja kwa Moja niliena backstage kuonana na madee
kupanga mpango wa kumsaka aliemwaga pombe yake
DJ OMMY CRAYZ ON THE 1 N 2
Sema eeeehhhhhh....Semaaaa Ooooohhhh.....






Yaniii.......Mizuka ikapandaa pale umati wa watu ulivolipuka na kuanza
kuimba sambamba na mimi..

No comments:

Post a Comment