ALICHOKIANDIKA HYPERMAN HK KWENYE FACEBOOK KUHUSU MAMA YAKE MZAZI KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Hiki ndio amekiandika hyperman hk kwenye facebook
kuhusu mam ayake mzazi aliemzaa kwenye siku ya wanawake duniani.
Happy mother's day,
nachukua nafasi hii kumshukuru sana mama yangu kwa kunizaa,kunilea na kunipa
mahitaji yote muhimu mpaka kufikia leo najitambua najielewa na naweza
kujitegemea. sina maneno mengi kwako mama yangu nachoweza kusema ni neno moja
tu'' NAKUPENDA'' nikwambie nini tena.
No comments:
Post a Comment