Pages

Monday, November 4, 2013

MAJANGA : MWANAFUNZI AJINYONGA KWA HOFU YA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE...TAZAMA PICHA


 Mwanafunzi  aliyekuwa akisubiri kufanya  mtihani  wa kidato cha nne unaotaraji  kuanza kesho Bw Khamis Mkundo mkazi  wa Mwangata C katika Manispaa  ya Iringa  akiwa amejinyonga  usiku  huu kuhofu  mtihani  wa kidato cha nne
 Mwenyekiti  wa serikali ya mtaa wa Mwangata C Bw Sarehe Mgimwa akisoma ujumbe  ulioachwa na marehemu huyu 
BOFYA HAPA KUANGALIA PICHA ZAIDI
 Askari  kanzu  akikagua  mwili wa mwanafunzi  huyo 

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI 

No comments:

Post a Comment