Pages

Thursday, September 5, 2013

DUDE(yahaya) AWACHANA KINA MAMA WANAOJAZANA KWA WAGANGA KUROGA WAUME ZAO

Dude aliyaongea hayo baada ya kukerwa na kitendo cha kina mama mbalimbali  kuwaona wakijazana katika kilinge cha kijana mmoja ambaye hakumtaja kwa jina lakini ni mtu ambaye kiukweli si mtaalamu wa kazi hiyo ila anashangaa kuwaona wanajaa kibao kufata mvuto wa kimapenzi kupitia mganga huyo. aliandika hivi dude kupitia akaunti yake ya bbm.

morn guys, eti jaman kuna sehemu kuna chuo cha kufundisha uganga wa kienyeji? hebu nielekezeni mana kuna bwege anapiga pesa huyo hasa kwa kina dada, mi namjua huyu fala ni bwege wa kitaa tu, anajifanya anaweza dawa za mapenzi basi si foleni za kina mama hizo hatari,hawa wadada wanaturoga sana,hata ukionyesha upendo wa kweli ye anaamini dawa za mganga wake zinafanya kazi ma,,,,,,,,,,,,. alimaliza kwa kusema hivyooooo!!!!

No comments:

Post a Comment