Pages

Wednesday, April 17, 2013

HABARI YA MJINI:HICHI NDICHO ALICHOKIANDIKA SINTAH(J LO)KUHUSU SAKATA LA DIAMOND,WEMA NA PENNY:



Diamond n Penny

Diamond n Wema
Helo Wadauziii
Nadhani watu wote mmesikiliza Radio/Blogs mmesoma hii story inaowahusu watu wa hapo juu
sitaki kufungamana na sehemu yeyote ila nataka wewe shabiki wa hawa watu na msomaji wa hii website utoe maoni yako juu ya hili suala.

What was he trying to prove? 
 I'm shocked for a real gentleman to record and publicize vitu kama vile. Sijui ni utoto heeeeee au ndo umaarufu unamuelemea kiasi cha kusema "nilikuwa narekodi ni mimi mwandishi wako Naseeb Abdi Juma"
Mi natamani hiyo kesho ifike nione nani atapelekwa nyumbani  wajameni maana hii ngoma ni nzito kweli kweli.
I do the seeking n u do the judging.

No comments:

Post a Comment