Pages

Wednesday, April 10, 2013

ALICHOKIANDIKA DIAMOND PLATNUM KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK KUHUSU SERIKALI YA TANZANIA


Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye Uchaguzi wao, bila kujali Thamani na Mchango wetu kwao.....

No comments:

Post a Comment