hk CONTACTS

hk CONTACTS

Wednesday, March 20, 2013

LEO NI SIKU YA KUZALIWA MAREHEMU SHARO MILIONEA,TUMUOMBEE HUKO ALIPO APUMZIKE KWA AMANI MAHALA PEMA PEPONI

 INNALILLAH WAINNAILAH RAJIUN

 Manager wa marehemu SHARO MILIONEA- HYPERMAN HK akiwa juu ya kaburi la marehemu sharo milionea maeneo ya muheza tanga katika kijiji cha LUSANGA

 


Kushoto ni dada yake na sharo milionea katikati mama mzazi wa sharo milionea na kulia ni msanii wa comed akimfariji na kumkabithi baadhi ya michango mama yake sharo milionea siku ya arobaini ya marehemu sharo,iliyofanyika muheza tanga.

 Snura na hyperman hk

                                                          Kaburi la marehemu sharo milionea

 Tunda man akiwa na mama yake marehemu sharo siku ya arobaini tanga muheza


Rais wa TAFF  mwakifamba Pamoja na mwenyekiti wa chama cha comed KITALE wakiongea na wasanii baada ya arobaini ya sharo muheza tanga.

Baadhi ya wasanii wa filamu,comed,na bongo fleva wakimsikiliza kwa makini sana rais wa taff mwakifamba akiongea mengi kuhusu msiba wa sharona kumlea mama yake sharo.

No comments:

Post a Comment