Pages

Monday, March 25, 2013

CHIDY BENZI AMPA KICHAPO KIKALI MANGWEAR

 Msanii wa hih hop chid benz usiku wa juzi katika club moja ya usiku iliyopo maeneo ya mjini alimpiga ngumi nyingi sana msanii mwenzake mangwear mpaka kulazwa na kushonwa nyuzi zisizopungua kumi.

 alipoulizwa kuhusu sakata hilo alikubali na kusema pombe ndio imesababisha kutokea ugomvi huo.

 chidy benz

Mangwear Na t.i.d

No comments:

Post a Comment