Pages

Friday, March 8, 2013

ALICHOKIANDIKA MAMA SALMA KIKWETE KATIK UKURASA WAKE WA FACEBOOK KUHUSU SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete.

Leo ni siku ya wanawake Duniani, ni siku ya kujitazama kama Taifa juu ya hali ya wazazi hawa na walezi wa Taifa hili. Ni siku ya kujipima na kutathimini namna gani, wanawake wamewezeshwa kujitambua na kushirikishwa katika mipango ya maendeleo ya jamii yetu. Tunapofikiri kama Taifa ni namna gani tunaweza kujikomboa katika Umasikini tulionao ni lazima mipango hiyo iende sambamba na mipango na mikakati ya ukombozi kwa wanawake wa Taifa hili

No comments:

Post a Comment