Hospital mpya yenye mashine za kisasa imefunguliwa tabata hivi karibuni, watanzania tofauti wamemiminiaka kushuhudia ufanisi wa hospital hiyo ya kisasa inayotibu magoinjwa kama , kansa, moyo,kiuno,mgongo,miguu,kichwa,mbavu na kila aina ya magonjwa sugu.alielala hapo pichani ni mama yake na msanii wa muziki wa bongo fleva synage alikuwa anasumbuliwa na kansa lakini kwa sasa tangu aanze kutibiwa katika mashine za hospital hii anaendelea vizuri kabisa na ametoa ushuhuda kupitia www.hyperhk.blogspot.com leo katika hospital hiyo ya masa ceragem tabat cenrter
MASA CERACGEM TABATA CENTER
Hospital iko tabata karibu kabisa na jengo la crdb tabata
Hapo ni maeneo ya ndani ya hospital hiyo
Mkurugenzi wa MASA CERAGEM TABATA CENTER LADYNAA
Msanii wa bongo fleva PASHA ni mmoja kati yawatu waliowahi kushiriki matibabu katika hospital hiyo
Wagonjwa mbalimbali wakipata matibabu katika machine mbalimbali za hospital hiyo
Muhudumu wa hopspital ya masa ceragem ya tabata center akihudumua wagonjwa
Hosital iko vizuri kwakweli mie ni mmoja kati ya
watu waliokwenda kushuhudia matibabu mbalimbali eneo hilo kama una mkonjwa
yoyote na haujapata ufumbuzi basi mpeleke katika hospital hii utaona mabadiliko
mbalimbali kwa mgonjwa wako na kupona kabisa kwa wale ambao wangependa kwenda
kwa maelezo zaidi piga simu namba 0714403442
No comments:
Post a Comment