Pages

Tuesday, October 8, 2013

HAWA NDIO WASHIRIKI WANNE WANAO IWAKILISHA TANZANIA TUSKER PROJECT FAME



Hatimae Washiriki watakao iwakilisha Tanzania katika Mashindano ya mziki yanayo andaliwa na kinjwaji cha Tusker ,Tusker Project Fame wamejulikana ,
Washiriki hao ni  Angel, 23 yrs, Hisia, 21 yrs Tanah, 21 yrs na Dubson, 25yrs. Washiriki hao watakaa katika Academy ya music huko Nairobi kwa kipindi fulani huku wakichuana kupata washindi...Mashindano hayo ndio yamezaa wakali katika Bongo Flava kama Hemed na Peter Msechu.
Stay Tuned we will be Updating you on Their Progress

No comments:

Post a Comment